Tahadhari Kwa Wakenya : Uchawi Ni Utumwa.
Na. THEOFLIDA WA YESU.
Naanza kwa kuwasalimu kwa JINA LA YESU. Jina lililo Kuu kupita majina yote.
Wiki kadhaa zilizo pita, niliandika waraka wangu kwa watanzania na kuusambaza kupitia blogs na mitandao mbalimbali kuhusu athari za kujihusisha na masuala ya waganga wa jadi .
Katika waraka huo niliwatahadharisha watanzania kutojihusisha na WAGANGA WA TUNGULI kwa sababu WAGANGA WA TUNGULI ni WACHAWI NA MAWAKALA WA SHETANI walio vaa kofia ya utabibu.
KUUSOMA WARAKA HUO, TAFADHALI TEMBELEA
:http://shuhudazaajabu.blogspot.co.ke/2016/07/ushuhuda-nilimlisha-mume-wa-mtu.html
AU
http://www.mpekuzihuru.com/2016/07/ushuhuda-nilimlisha-mume-wa-mtu.html
Katika waraka huo niliwaelezea watanzania jinsi nilivyo shawishika kutafuta msaada wa maisha yangu kwa MGANGA WA TUNGULI aitwae MUNGU WA KABILI na kujikuta nikipata matatizo makubwa ambayo hata hivyo yalipelekea kunikutanisha na YESU ambae ameniokoa.
Katika waraka huo nili sahau kueleza mambo makuu mawili yafuatayo:
Kwanza nilisahau kuweka mawasiliano ya MUNGU WA KABILI ayatumiayo pindi anapokuwa nchini KENYA ili kuwa tahadharisha wakenya wasipige namba hiyo wala wasijaribu kutafuta msaada kwenye namba hiyo, kwa sababu mtu huyo ni WAKALA WA SHETANI alie jificha kwenye kivuli cha UGANGA...
Wengi walio jaribu kutafuta msaada kwa MUNGU WA KABILI wamejikuta wakiishia kuunganishwa na UTAWALA WA KUZIMU ambao umewapelekea kujikuta katika matatizo makubwa kama niliyo yapata mimi.
Nimeona vyema kuwatahadharisha wakenya, kwa sababu mungu wa kabili hufanya kazi zake Tanzania na Kenya. Anapokuwa Tanzania, namba yake huwa ni + 255 744 000 473 na anapokuwa Kenya , namba yake huwa ni + 254 704 71 61 59.
Hivyo basi Ndugu zangu Wakenya , hii ni tahadhari yangu kwenu. Nimeweka namba hizo hapo juu kama alama ya MPINGA KRISTO ambayo watu wote wenye hofu ya Mungu wanapaswa kuepukana nayo..
Nimeongozwa katika namna ya rohoni, kuanza kufanya kampeni ya nguvu dhidi ya roho ya kuhusudu masuala ya UGANGA, UCHAWI NA USHIRIKINA na nitajikita zaidi katika mapambano dhidi ya MGANGA WA JADI AITWAE MUNGU WA KABILI.
Ninaanza kwa kupambana na MUNGU WA KABILI kwa sababu, kwa miaka zaidi ya mitatu ambayo nimekuwa nikishirikiana na MUNGU WA KABILI, nimeweza kujua kuwa yeye ndio MKUU WA WAGANGA NA WACHAWI WOTE WA AFRIKA MASHARIKI NA KATI , na watu wenye hekima wanasema katikati ya kundi la kondoo MPIGE RUNGU MCHUNGAJI, NA KONDOO WOTE WATATAWANYIKA.
Naamini nikimsambaratisha mungu wa kabili, basi itakuwa rahisi kwa waganga wengine kwa sababu wote ni kama wafuasi wake tu.
Katika kampeni yangu hii ya kiroho, nimeanzisha blogu iitwayo SHUHUDA ZA AJABU ambayo inapatikana : www.shuhudazaajabu.blogspot.com.
Nitakuwa nikitoa shuhuda za mambo mbalimbali ya kichawi niliyo fundishwa na MUNGU WA KABILI na jinsi unavyo weza kujiepusha nayo kwa kutumia Jina la Yesu.
Najua kazi hii itainua uadui mkubwa dhidi yangu, kwa sababu hakuna kitu wachawi wanakichukia kama siri zao kutolewa hadharani, lakini kwa Jina la Yesu, nitapambana vita hii na nitaishinda.
MUNGU WA KABILI na jeshi lake watajaribu kushindana na mimi lakini hawatashinda.( YEREMIA 1:19.)
Shuhuda nitakazo zitoa, zitakuwa na mafundisho mazuri yatakayo kupa faida , kama Mungu anavyo sema katika kitabu cha ISAYA 48 kwamba " MIMI NI MUNGU NIKUFUNDISHAE ILI UPATE FAIDA'.
Ushuhuda huu utakufanya umjue shetani vizuri kama wasemavyo watu wenye hekima " MJUE ADUI YAKO KAMA UNAVYO IJUA NAFSI YAKO"
JAMBO LA PILI na la msingi ambalo sikuweza kuli
No comments:
Post a Comment