Kutakuwepo na mchezo wa basketball kati ya SFUCHAS na MOROGORO WORRIORS katika viwanja vya jkt hapa morogoro mjini mchezo utakaofanyika kesho jumapili kuanzia mida ya saa kumi jion.Mchezo huo utakuwa na ushindani mkubwa haijapata kutokea kutokana na umahiri wa timu hizi mbili.SFUCHAS watakuwa wageni Katika huo mchezo wakiongozwa na captain wao GIDEON akisaidiwa na ndugu MAZIKU .Sambamba na hilo mnaombwa wanafunzi wate kwa umoja wenu kuhudhuria mpambano huo wa kukata na shoka bila kukosa mkiwa kauli mbiu ya SFUCHAS USHINDI LAZIMA.
TUNAKUPATIA HABARI ZA BIASHARA MICHEZO AFYA SIASA NA BURUDANI NA MAHUSIANO TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KUPITIA 0657191827,0753127275,0789930603
Saturday, 20 May 2017
BASKETBALL GAME YA KUKATA NA SHOKA ,MADAKTARI SFUCHAS VS MOROGORO WORRIORS 21/MAY/2017 JUMAPILI
Kutakuwepo na mchezo wa basketball kati ya SFUCHAS na MOROGORO WORRIORS katika viwanja vya jkt hapa morogoro mjini mchezo utakaofanyika kesho jumapili kuanzia mida ya saa kumi jion.Mchezo huo utakuwa na ushindani mkubwa haijapata kutokea kutokana na umahiri wa timu hizi mbili.SFUCHAS watakuwa wageni Katika huo mchezo wakiongozwa na captain wao GIDEON akisaidiwa na ndugu MAZIKU .Sambamba na hilo mnaombwa wanafunzi wate kwa umoja wenu kuhudhuria mpambano huo wa kukata na shoka bila kukosa mkiwa kauli mbiu ya SFUCHAS USHINDI LAZIMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment